Thursday, November 20, 2008

MARAISI WA MAREKANI














Ni raisi yupi unayempenda sana? Kwa nini? Yupi humpendi? Kwa nini humpendi? Yeye alifanya nini?

KANGA KUSHEREHEKEA USHINDI WA OBAMA
















































Kanga hizi zinasemaje? Umezipenda?

Monday, November 10, 2008

RATIBA YA KUWASILISHA MADA DARASANI

Tafuta mada yo yote kutoka katika magazeti, redio au kutoka sehemu yo yote na uwasilishe darasani kwa muda wa dakika tano hadi kumi. Tafadhali usisome na jaribu sana kutumia maneno yako mwenyewe.

WIKI YA 12

Novemba 10- JOY

Novemba 12 - ASHLEY

Novemba 14 - TIM


WIKI YA 13

Novemba 17 - LAURA

Novemba 19 - ALISON

Novemba 21 - CECILIA


WIKI YA 14
Novemba 24 - KYLIE

WIKI YA 15
Desemba 3 - PRIYA
Desemba 5 - KELLEY

Sunday, November 9, 2008

CHEMSHABONGO NAMBA TATU (KUFANYIA NYUMBANI)

(1) Tazama video ya MUME BWEGE (Stupid husband) hapo chini na soma maneno ya wimbo (lyrics) halafu jibu maswali (1) na (3). Majibu yako ni lazima yawe katika insha.

(2) Kuna chakula cho chote unachokipenda? Andika mahitaji ya chakula hicho na kinavyopikwa. Andika kila kitu ambacho unataka watu wengine wafahamu kuhusu chakula chako.

(3) Andika sentensi kumi ndefu ukitumia relative markers katika tense zifuatazo. Sentensi moja katika kila "tense" ni lazima iwe katika ukanushi (negative)

-na-
-li-
-ta-
-me-
-mesha-
hu-

MENU KATIKA MKAHAWA WA "SHERATON"



















SWALI:
Kuna chakula cho chote ambacho unaweza kula katika mkahawa huu wa "Sheraton"? Andika mazungumzo mafupi kati yako na mhudumu kuhusu jinsi utakavyohudumiwa kuanzia mwanzo mpaka mwisho.

Thursday, November 6, 2008

WAUZAJI WADOGO WADOGO

Wauzaji hawa wadogowadogo wanauza nini? Kuna cho chote unachotaka kununua? Andika mazungumzo yako na muuzaji mmoja. Usisahau kuomba kupunguziwa bei.






MAGAZETI YA TANZANIA NA USHINDI WA OBAMA












































Monday, October 27, 2008

MWANASIASA

Unaweza kusema cho chote juu ya Mwanasiasa huyu?

Tuesday, October 21, 2008

SOMO LA TANO - ELIMU

(1) SARUFI (uk 83 - 85)

(2) Jiandae kuzungumza juu ya zoezi la tatu (uk 85)

(3) Fanya zoezi la saba (uk 89)

(4) Soma na uelewe ufahamu (uk 88-89). Ni lazima ufahamu vizuri maneno yaliyokolezwa wino (bolded)

(5) Unaipenda elimu ya jadi ya Kiafrika? Kwa nini?

Chakubanga
Mume wangu Chakubanga ! Leo nimekupikia chakula bora, ukwaju na mapapai kwa mtindo wa kisasa. Kaongeze ndimu na malimau redio imesema !

- Chakubanga my husband ! today I've cooked for you new cuisine : tamarind and papaya of the day. Add some lemons and limes, they said in the radio !

MASHINDANO YA UREMBO




















SWALI: Taja rangi za blauzi na sketi ya mshiriki huyu wa mashindano ya urembo. Hizo ni rangi za bendera ya taifa ya Tanzania. Bendera ya Marekani ina rangi ngapi? Unafahamu maana yake?

RAISI GEORGE BUSH ALIPOTEMBELEA TANZANIA

(1) AIR FORCE ONE - NDEGE YA RAISI WA MAREKANI











(2) RAISI ALIBURUDISHWA NA NGOMA ZA KIENYEJI AKIWA BADO KATIKA ZULIA JEKUNDU UWANJA WA NDEGE.











































(3) KAN
GA ZA KUMKARIBISHA















































































































(4) RAIS BUSH NA WAMASAI




































(5) WAKE WA MARAISI (MAMA BUSH NA MAMA KIKWETE)



















(6) KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA














































(7) WAISLAMU WALIANDAMANA KUPINGA ZIARA HIYO














(8) RAISI BUSH AKIWA NA MWENYEJI WAKE RAISI KIKWETE WA TANZANIA















(9) RAISI BUSH NA MKEWE WAKIAGWA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.




















MASWALI


(1) Baada ya kuangalia picha hizi una maoni yo yote kuhusu jambo lolote lililokuvutia, kukushangaza na hata kukukasirisha?

(2) Kanga za Bush zinasemaje? Umezipenda?