Monday, April 9, 2012

ZOEZI LA LEO - WEKA MAJIBU YAKO HAPA KAMA MAONI


Shida Sura ya Tano - Uk. 11 katika Mwongozo wa Shida

(1) Katika sura hii Sefu yuko wapi? Kwa nini?

(2) Sefu na Shida wameamua kurudi kijijini. Kwa nini? Isome vizuri barua ya Sefu aliyomwandikia Babake (uk. 79-81)