Thursday, November 6, 2008

WAUZAJI WADOGO WADOGO

Wauzaji hawa wadogowadogo wanauza nini? Kuna cho chote unachotaka kununua? Andika mazungumzo yako na muuzaji mmoja. Usisahau kuomba kupunguziwa bei.






3 comments:

Anonymous said...

Ningepika nyoma choma na mboga. Unavyopikwa? Nitanunua nyoma choma wa mboga wapi? Ningetengenezea watu wadogo nyoma choma. Ninafikiri ninakula chakula kizuri.

Anonymous said...

Kila Jumatano mji wa Gainesville wana soko katika Downtown Square. Wakulima na mafundi vienyeji wanauza kitu mbalimbali kama matunda, mboga, vishaufu, maua, na kadhalika. Mara kwa mara, wanamuziki walikuja na wanachezia muziki kwa wanunuzi. Wauzaji wanauza chakula kizuri sana. Kwa mfano, wiki iliyopita nilinunua maua mazuri kwa mamangu na kabichu machungwa pia na bei ilikuwa rahisi sana!

Cecilia said...

Nani aina samaki ni katika picha hii? Anafanana chuchunge (swordfish). Ninapenda wauzaji wadogo wadogo. Ni wazuri na kwa kawaida unaweza kununua hununui katika masomo makubwa. Kuna pahali penye wauzaji wadogo wadogo katika mji wa Gainesville, lakini hapana kila siku.