Wednesday, October 21, 2009

MAPISHI YA VYAKULA MBALIMBALI (RECIPES): BISKUTI YA CHOKOLETI (NA KYLIE)

Mahitaji:

-Unga wa ngano vikombe viwili

-Hamira kijiko cha chai moja

-Chumvi kijiko cha chai moja

-Siagi vikombe moja

-Sukari vikombe moja

-Sukari hadharani vikombe nusu

-Mayai makubwa mawili

-Chokoleti vikombe viwili


Kuandaa Biskuti na Chokoleti:


-Uchemshe jiko katika 190C

-Uongoze unga wa ngano, hamira, na chumvi katika bakuli

-Halafu uongoze siagi, sukari, sukari hadharani, na mayai katika bakuli nyingine na changanya

-Uongoze bakuli la kwanza katika bakuli la pili na changaya

-Uchanganye chokoleti na kila kitu

-Uweke mchanganyiko katika chombo

-Oka kwa dakika kumi na tano

-Halafu kula

No comments: