Monday, October 4, 2010

SOMO LA NNE - KUUZA NA KUNUNUA

(1) Someni habari za Sarufi (uk. 69-70)



(2) Someni mazungumzo ya pili (uk. 73 - 75) na hakikisheni kwamba mnafahamu maneno yaliyokolezwa (bolded). Mkazo (attention) pia ni katika vitenzi ambatano (compound verbs) m.f. -tunamtaka atuambie, tunataka kwenda, tutakuona utakapokuja, tulimwona alipokinunua, nilikuna ninakula n.k.



(3) Ni lazima msome mazoezi ya UTAMADUNI (uk. 77)



(4) Ni lazima mfahamu jinsi ya kununua vitu kwa wauzaji wadogo wadogo na jinsi ya kuomba punguzo la bei.

No comments: