Wednesday, October 20, 2010

HARUSI YA MARIAMU

(II) Harusi ya Mariamu: Ninapenda majibu marefu. Tafadhali usitoe majibu mafupi au ambayo si kamili.

(1) Umeipenda filamu hii? Kwa nini? Filamu ni juu ya nini?

(2) Ni arusi ya aina gani inayoonyeshwa katika filamu hii?

(3) Mariamu alikuwa anaumwa nini? Nini kiini cha ugonjwa wake? Kwa nini madaktari walishindwa kugundua ugonjwa wo wote?

(4) Kuna tofauti zo zote kati ya waganga wa kienyeji na madaktari katika hospitali za kisasa? Je, kuna waganga hapa Marekani? Kama wapo wanatibu magonjwa gani?

(5) Una maoni gani kuhusu waganga wa kienyeji? Unawapenda? Kwa nini?

(5) Tumia maneno haya katika sentensi:

-nakuhakikishia
-pona
-pasa

II. Andika maana, dalili, kinga na matibabu ya ugonjwa mmoja wa kawaida hapa Marekani.

No comments: