Wednesday, September 10, 2008

KAZI YA LEO NA IJUMAA

Andika insha ndefu nzuri (si chini ya ukurasa mmoja) juu ya mtu ambaye ungetaka kuwa au kitu ambacho ungependa kukifanya siku moja. Leta insha yako siku ya Ijumaa na tutazungumza juu ya insha nne hivi kabla ya kufanya chemshabongo ya kwanza.

Chemshabongo ya kwanza itakuwa juu ya -nge- na haiba za watu (personalities) . Someni notisi zenu za darasani na mfahamu kila kitu.

Leo mmenifurahisha jinsi mlivyozungumza darasani. Safi sana!

No comments: