Wednesday, September 21, 2011

Zoezi la Kwanza: Fall 2011

Soma Sarufi ya Somo la Pili

 (1) Every and each (kila) - uk. wa 35, (2) The relative constructions (uk.36) and (3) the -o construction (uk.37)

Fanya Zoezi la Tatu: Maswali ya Kisarufi (uK.39). Andika majibu yako hapa chini kama maoni (comments)

2 comments:

Iqra said...

1) Juma ana anwani ya nyumba ambayo tunatafuta.
2) Salma na Pili wote wanakaa katika chumba kimoja.
3) Sakafu ambayo ninapenda ni la zulia.
4) Ninataka watu wote waende katika sebule.
5) Sisi sote hatupendi vyumba vidogo.
6) Baba na mama wote wana chumba cha kulala kikubwa.
7) Lily ana kitanda ambacho kina blanketi.
8) Nyumba yetu ina chumba kimoja.
9) Bafu ninayolipenda ni la maji moto.
10) Nyumba ninayoitaka ni ya ghorofa mbili na vyumba vinne.

Robert Shelton said...

Yeah, I got the same answers in my book. Can we contract number 3?
1. Juma ana anwani ya nyumba tunayotafuta.
3. Sakafu ninayopenda ni la zulia.

Can we contract with -na?
7. Lily anacho kitanda kina blanketi.