Wednesday, April 13, 2011

KUHUSU MRADI NA MTIHANI WA MWISHO

  • Miradi ya mihula iletwe darasani siku ya mwisho wa darasa (20/4/2011)
  • Mtihani wa mwisho utatolewa darasani siku ya mwisho (20/4/2011) na utatakiwa kuletwa ofisini kwangu Alhamis tarehe 28/4/2011.

No comments: