Friday, February 5, 2010

ZOEZI LA PILI LA KUANDIKA - JUMATATU (8/2/2010)

  • Andika ufupisho wa sura ya kwanza ya Shida.
  • Andika jinsi Matika alivyoondoka kwenda mjini na jinsi alivyorudi. Tunajifunza nini kuhusu maisha ya vijijini na mijini kwa kumwangalia Matika alivyoondoka na alivyorudi? TUMIA MANENO YAKO MWENYEWE!
  • Tumia maneno yafuatayo katika sentensi:
  1. mpiga debe
  2. -vunja ungo
  3. siri
  4. kindakindaki

No comments: