Showing posts with label MAPISHI. Show all posts
Showing posts with label MAPISHI. Show all posts

Wednesday, October 26, 2011

Chakula Nikipendacho

Chakula nikipendacho ni nyama ya n'gombe na mchicha. - Na Robert

Ili kupika chakula hiki kuwatosha watu wawilli, ni lazima kuwa na :

Siagi vijiko viwilli
Mchicha poundi robo
Chumvi ya kutosha
Nyama ya n'gombe paundi moja
Viungo vinavyoitwa "Montreal Steak Spice"

Kinavyopikwa:
Weka viungo katika nyama

Pika nyama ya n'gombe katika grill kwa dakika kumi au hadi ni nyekundu. (Usikipenda nyama nyekunda, upike kwa muda zaidi)

Baada ya nyama ilipikwa, weka mchicha katika sufuria kubwa.
Weka vijiko villi cha siagi katika mchicha . Halafu chumvi.
Pika mchicha kwa dakika tano, ukichanganya.